Kiswahili kama mojawapo ya lugha inayozungumzwa nchini kenya.Ni vyema wanafunzi wanaochukulia kozi ya Social Work kuweza kuitumia katika mawasiliano yao katika jamii.

Katika sura hii ya kwanza tutaweza kushughulikia ngeli.

You are therefore expected to participate in all the learning activities.